Rihanna ashinikizwa kurudiana na Chriss Brown

Rihanna & Chriss Brown

Imeripotowa kuwa familia ya mwanadashost Rihanna inamuomba kurudisha uhusiano uliofeli kati yake na X boy friend Chris Brown.uhusiano huo ulifeli tangu mwaka 2009 pale Chris alipompa kitu inaumwa Rihanna kabla ya Grammy Awards, Brizzy alikua arested kwa kitendo hicho lakini aliescape kufungwa jela na badala yake kufanya community services. Ingawa walijaribu kurudisha uhusiano wao mda mfupi baada ya tukio lakini RIRI aliamua kuachana nae kabisa mpaka hivi sasa
sasa Cousin wake ameliambia the National Enquirer kuwa wamemsamehe Chris na kumtaka RIRI amrudie. " Chris alikosea, lakini nimemsamehe." amesema Nicola Alleyne na kuendelea kusema, " nadhani hata yeye kapata kipigo,lakini ningependa kuwaona pamoja tena, naamini Chris bado anampenda, alimtambulisha kwa kila mtu, alikua ni mtu mzuri sana.
Chris kwa sasa yuko katika uhusiano na model  Carrueche Tran.

0 comments: