MAAJABU: KUTANA NA MACHIZI AMBAO NI WAPENZI.......!!!




Hawaa ni machizi ambao wamekua wakionekana mara kwa mara nawatu kuuliza kulikoni maana kila kila kinachofanyika ni kama mtu na mpenzi wake, mara kwa mara wamekua wakikiss (denda) na mwanaume ndio mara nyingi amekua akitafuta chakula na pindi kinapopatikana basi mwanamke humkimbilia na kumbusu mara kwa mara...!!  Majuzi juzi mashahidi walikua karibu na eneo wanaloishihawa machizi waliwaona wakifanya tendo la ndoa na kulala pamoja

0 comments: