WANAIJERIA WAZIDI KUMALIZA MADADA WA KITANZANIA

dada yenu huyu ame dead kisa??? drugs
ilikuwa ni kutoka UK kwenda Italy na mauti
 yakamkuta huko kweli drugs noumaaa


Sonia ni msichana aliyekuwa anaishi Uk na  chanzo cha habari hii kimeniambia alipata connection ya Wanaigeria wanaoishi Uk kupeleka Unga (Drugs) Italy, yaliyomkuta ni yale mambo kucheza segere ndani ya tumbo lake (Madawa kupasukia tumboni) na kupelekea umati wake. 
Jamani jamani msiwaige wa Nigeria jamani watawaponza  maana wanawapa maneno matamu huku wanawamaliza taratiibuu, Akili ku mkuichwa dada zangu

0 comments: