-
Maecenas mattis, tortor ut posuere aliquam
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Post with SoundCloud
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Consectetur adipisicing elit
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Post With Featured Image
iam 1989 wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing...
-
Elementum mauris aliquam ut
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
Showing posts with label majuu. Show all posts
Mzee Nelson Mandela
Taarifa kutoka Ikulu ya Afrika Kusini zilisema Jumapili jioni kuwa Mandela alikuwa amezidiwa ingawa madaktari wanafanya kila wawezalo kuhakikisha kuwa anapata afueni. Taarifa kutoka kwa ofisa mmoja mkuu alisema kuwa raia wa Afrika Kusini wasiwe na matumaini kupita kiasi.
Mandela ambaye alikuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, akiwa na umri wa miaka 94, alipelekwa hospitalini mapema mwezi huu, ikiwa ni mara ya tatu kwake kulazwa hospitalini akiugua ugonjwa wa mapafu mwaka huu.
Rais Jacob Zuma alisema Jumapili kuwa alimzuru Mandela Hospitalini na kuzungumza na mkewe kuhusu hali ya rais mstaafu. Madaktari wanaomtibu Mzee Nelson Mandela wamesema hali yake sio nzuri kwa saa ishirini na nne zilizopita na sasa ni mahututi.
Habari hizo zimekuja kupitia taarifa iliyotolewa na ofisi ya rais ya Afrika Kusini. Taarifa hiyo imesema bado Mzee Mandela ameendelea kusalia hospitalini mjini Pretoria kwa siku ya kumi na sita akitibiwa mapafu yaliyosababisha tatizo kwenye mfumo wake wa upumuaji.
Rais Jacob Zuma amemtembelea Mzee Mandela na pia kuzungumza na jopo la matabibu wanaomtibu.
Baadaye bwana Zuma alirejea kauli yake ya kulitaka taifa na dunia kumuombea Mzee Mandela apate nafuu.
-BBC
Read More »
Yes jamaa anajua kutumia Instargram yake vizuri, Ludacris ameingia kwenye Instargram kukanusha kuwa ameumizwa na chupa iliyo rushwa wakati anapiga mzigo kwenye club flani huko Atlanta. Ndio kuna chupa ilirushwa kuelekea kwangu ila haijanigusa and i m okey alisema Ludacris kupitia hii picha aliyo weka kwenye twitter pia
Read More »
VIDEO: BETTY NA BOLT WANASWA TENA WAKIVUNJA AMRI YA SITA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
3:58 AM 0 comments
Mu Ethiopia Betty na mu Sierra Leon Bolt wameanikwa tena na camera za Jumba la big Brother wakivunja amri ya sita.
Hii ni mara ya pili kwa washiriki hao kutenda tendo hilo la aibu ndani ya kamera hizo
Read More »
LIST YA MASTAA ZAIDI YA 20 WALIOKWISHA TEMBEA NA KIM KARDASHIAN KABLA HAJATULIA NA KANYE WEST
3:24 AM 0 commentsTJ Jackson (1994-1998)
Damon Thomas (m. 2000–2004)
Ray J (2002-s*x tape made 2003(during her marriage to Damon)-2007)
Nick Lachey 2006
Nick Cannon (Sept 2006-Jan 2007)(during her relationship w/Ray J)
FONSWORTH BENTLEY (2006-Feb 2007)
Marquis Houston (March 2007)
Evan Ross (May 2007)
Reggie Bush (2006 (during her relationship w Ray J)-2009/2010)
Christiano Ronaldo (April 2010)
Shengo Deane (April 2010)
Miles Austin (June 2010)
Michael Copon (October 2010)
Jon Mayer (October 2010)
Gabriel Aubrey (November 2010)
Kris Humphries (m. 2010–2013)
Kanye West (2007–present)
Pia Brett Lockett, The Game, 50 cent, Scott Storch,
Read More »
NI siku ya furaha kwa Kanye West! Kim Kardashian amejifungua mtoto wa kike Jumamosi asubuhi katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center, Los Angeles, mtandao wa OMG umethibitisha.
Inasemekana Kardashian, 32, alikuwa na West pembeni mwake wakati wa kujifungua, kumkaribisha duniani binti yao mwezi mmoja kabla ya muda uliotarajiwa. Tarehe halisi ya kujifungua ilitazamiwa kuwa Julai 11.
"Kim aliugua Ijumaa usiku na hatimaye kupata mtoto mapema jumamosi," chanzo cha hospitali kimeileza Us Weekly. “Inafurahisha, wote wako katika hali nzuri!"
Kanye West, 36, na Kim - wote wawili wakiwa ndo mara ya kwanza kuwa wazazi, wamekuwa wapenzi tangu Aprili 2012.
Desemba 30, 2012, West alitangaza kwamba mpenzi wake alikuwa na mimba wakati wa tamasha lake Atlantic City.
"Simamisha muziki na wote mpige kelele kwa mama kijacho," alisema West jukwaani akionyesha kidole kwa Kim ambaye alikuwa mmoja wa watazamaji.
Inasemekana Kardashian, 32, alikuwa na West pembeni mwake wakati wa kujifungua, kumkaribisha duniani binti yao mwezi mmoja kabla ya muda uliotarajiwa. Tarehe halisi ya kujifungua ilitazamiwa kuwa Julai 11.
"Kim aliugua Ijumaa usiku na hatimaye kupata mtoto mapema jumamosi," chanzo cha hospitali kimeileza Us Weekly. “Inafurahisha, wote wako katika hali nzuri!"
Kanye West, 36, na Kim - wote wawili wakiwa ndo mara ya kwanza kuwa wazazi, wamekuwa wapenzi tangu Aprili 2012.
Desemba 30, 2012, West alitangaza kwamba mpenzi wake alikuwa na mimba wakati wa tamasha lake Atlantic City.
"Simamisha muziki na wote mpige kelele kwa mama kijacho," alisema West jukwaani akionyesha kidole kwa Kim ambaye alikuwa mmoja wa watazamaji.
Read More »
Hivi Kanye West anautani na Mungu? Huenda hili likawa ni swali ambalo linaweza kujitokeza miongoni mwa waamini wengi hasa waliozama ndani katika maswala ya kidini watakapousikia wimbo mpya wa Rapper Kanye West ‘I am a God’ ambao upo katika album yake aliyoipa jina ‘Yeezus’.
Yeezy ameachia teaser ya wimbo huo kwa kuweka kipande cha video kinamuonesha akiwa studio na producer Rick Rubin akiurekodi wimbo huo.
Ukiacha mbali utata wa tafsiri ya jina la wimbo huo “I am a God”, jina la album Yeezus ambalo linasound kama…,kipande cha mashairi ya wimbo huo kinaweza kumfanya msikilizaji hasa mwenye imani ya dini flani (confidential) ajiulize lile swali.
Kanye anasema aliongea na Yesu, lakini maongezi yao yanakupa picha kama vile ni mazungumzo kati ya mtu na mshikaji wake wa karibu, yaani kama alikuwa anaongea na Jay-Z.
Siingii sana kwenye imani, lakini naijengea picha mitazamo ya baadhi ya watu katika hili, ila kwa wengine inaweza kuwa sio big deal.
Hiki ni kipande cha mashairi hayo:
"I just talked to Jesus/ He said, 'What up, Yeezus?'/ I said, 'Sh**, I'm chillin'/ Tryin' to stack these millions/ I know he's the most high/ But I am a close high."
Album ya Kanye West ‘Yeezus’ itaingia sokoni June 18 mwaka huu ikiwa na nyimbo kumi.
Album ya Kanye West ‘Yeezus’ itaingia sokoni June 18 mwaka huu ikiwa na nyimbo kumi.
Read More »
Leyla amesema hajataka kusema mapema kwani anajua Kim anaujauzito na sio kitu kuzuri yeye kuskia taarifa kama hizi ila imebidi sababu ameulizwa. Leyla amesema walikutana na Kanye kimwili baada ya kujuana kwa siku mbili tu. Model huyo amesema mara ya pili wamekutana na Kanye West ilikuwa Mwezi wa Kumi mwaka jana wakati Kim tayari anategemea mtoto.
Mpaka sasa Jarida la Star na New York Post Wame Ripoti hii taarifa na Kanye West hajasema lolote.
Read More »
Radio, Weasel na Navio wa Uganda watajwa kuwania tuzo za Nigeria Entertainment 2013
1:35 PM 0 comments
Wasanii wa crew ya Goodlyfe, Moze Radio na Weasel pamoja na nyota wa hip hop Navio kutoka Uganda wametajwa kuwania tuzo za Nigeria Entertainment 2013, katika kipengele cha East African Artist or Group of the Year.

Wasanii wengine waliotajwa katika kipengele hicho ni pamoja na P Unit, K’Naan, Fally Ipupa and Camp Mulla kutoka Keny. Tuzo hizo zinategemewa kutolewa tarehe 1, September 2013 katika tukio litakalofanyika New York City.
Huu ni mwendelezo wa mafanikio yanayoendelea kuwadondokea Radio na Weasel ambao takriban wiki mbili zilizopita waliweka historia kwa kuwa wasanii wa kwanza wa Uganda ‘angalau’ kuwa nominated katika tuzo kubwa za Black Entertainment Awards (BET) 2013, katika kipengele cha Best International Act – Africa.
Radio na Weasel kwa sasa wako South Africa ambako wametua jana (May 31) kwaajili ya shughuli moja kubwa ya kuchase paper ambapo wanategemea kuperform katika eviction show ya kwanza ya Big Brother ‘The Chase’ itakayofanyika kesho Jumapili (June 2).
Read More »
Wasanii wengine waliotajwa katika kipengele hicho ni pamoja na P Unit, K’Naan, Fally Ipupa and Camp Mulla kutoka Keny. Tuzo hizo zinategemewa kutolewa tarehe 1, September 2013 katika tukio litakalofanyika New York City.
Huu ni mwendelezo wa mafanikio yanayoendelea kuwadondokea Radio na Weasel ambao takriban wiki mbili zilizopita waliweka historia kwa kuwa wasanii wa kwanza wa Uganda ‘angalau’ kuwa nominated katika tuzo kubwa za Black Entertainment Awards (BET) 2013, katika kipengele cha Best International Act – Africa.
Radio na Weasel kwa sasa wako South Africa ambako wametua jana (May 31) kwaajili ya shughuli moja kubwa ya kuchase paper ambapo wanategemea kuperform katika eviction show ya kwanza ya Big Brother ‘The Chase’ itakayofanyika kesho Jumapili (June 2).
Read More »
UNAMJUA KIJANA HANDSOME ZAIDI DUNIANI NA BINTI MZURI ZAIDI DUNIANI.?? WATAZAME HAPA
10:07 AM 0 comments
anaitwa Queen Fatima Zohar-Godabari wa Saudi Arabia inasemekana yeye ndiye mwanamke mzuri zaidi duniani kwa mwaka huu wa 2013. Fatima Zohar-Godabari ambaye kwasasa ni malkia wa Saudi Arabia alikuwa akivaa hijabu muda wote kama wafanyavyo wanawake wakiislamu kiasi cha kufunika uso wake masaa yote lakini siku moja alipigwa picha akiwa hajajifunikana usoni napicha hiyo ilipostiwa katika mitandao na magazeti ndipo watu walipodai hakika ni mwanamke mzuri zaidi na kumpelekeakuwahuru kupiga picha pasipo kujifunika usoni.
Tizama picha zake hapa
Upande mwingine inasemekana kwamba kijana Omar Borkan Al Gala ndiye kijana handsome zaidi kuliko wote duniani kwa mwaka huu wa 2013..Omar Borkan Al Gala ambaye ni mwigizaji napi ni mwanamitindo alifukuzwa huko Saudi Arabia kutokana na mvuto aliokuwa nao.
Tizama Picha zake hapa.
Je Unadhani watu hawa wawili wanastahili sifa hizo???
Read More »
Tizama picha zake hapa
Upande mwingine inasemekana kwamba kijana Omar Borkan Al Gala ndiye kijana handsome zaidi kuliko wote duniani kwa mwaka huu wa 2013..Omar Borkan Al Gala ambaye ni mwigizaji napi ni mwanamitindo alifukuzwa huko Saudi Arabia kutokana na mvuto aliokuwa nao.
Tizama Picha zake hapa.
Je Unadhani watu hawa wawili wanastahili sifa hizo???
Read More »
Facebook imefuata mkondo Twitter kwa kuanzisha akaunti na kurasa zilizothibitishwa (verified pages/accounts) ili kuwawezesha watu mashughuli kuthibitisha akaunti akaunti na fan page zao. Facebook wamesema wamefanya hivyo ili kusaidia watumiaji wa Facebook kuzitambua akaunti za kweli za mastaa na watu wengine mashughuli wanaotumia mtandao huo, pia ikiwemo biashara zenye majina makubwa.
Kurasa zilizothibitishwa zitakua na alama ya blue ya pata “check-mark” kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu. Watu wataoruhusiwa kutumia huduma hiyo ni, viongozi wa serikali, waandishi wa habari maarufu, makampuni au bidhaa maarufu. Hivyo kuanzia sasa, utaweza kufahamu akaunti/pages zipi ni za kweli na zipi ni feki.
Ili mtu mashughuli kupata akaunti iliyohakikishwa, mhusika atahitaji kuwasilisha kitambulisho halali kinachotambuliwa kiserikali. Nadhani celebrities (mastaa) Wengi wa Afrika wataipenda hii. Kama mfano Wema, kuna page zaidi ya kumi zinazodai kuwa ni “Wema Sepetu”
Kurasa zilizothibitishwa zitakua na alama ya blue ya pata “check-mark” kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu. Watu wataoruhusiwa kutumia huduma hiyo ni, viongozi wa serikali, waandishi wa habari maarufu, makampuni au bidhaa maarufu. Hivyo kuanzia sasa, utaweza kufahamu akaunti/pages zipi ni za kweli na zipi ni feki.
Ili mtu mashughuli kupata akaunti iliyohakikishwa, mhusika atahitaji kuwasilisha kitambulisho halali kinachotambuliwa kiserikali. Nadhani celebrities (mastaa) Wengi wa Afrika wataipenda hii. Kama mfano Wema, kuna page zaidi ya kumi zinazodai kuwa ni “Wema Sepetu”
Read More »
UNAMFAHAMU MSIRIKI WA BIG BROTHER AFRICA ALIECHEZA KANDA YA NGONO?? MTAZAME HAPA..!!
5:43 AM 0 commentsMshiriki wa shindano la Big Brother Africa Chase kutoka nchini Zimbabwe Nare Pokello amejikuta katika kashfa kubwa baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja siku chache tu baada ya yeye kuingia ndani ya jumba la BBA.
kashfa hiyo ambayo sasa ndio habari ya mjini imezagaa katika kurasa kadhaa za Facebook huku mashabiki wengi kutoka nchini kwake wakisistiza watu wampigie kura ya kumng'oa Pokello nje ya jumba hilo .
Mashabiki hao wametengeneza ukurasa hivi karibuni, ambao unashinikiza watu wapige kura za kumng'oa Pokello katika jumba hilo la BBA, Ukurasa huo ulioundwa wiki hii mpaka sasa tayari una zaidi ya wafuasi zaidi ya 4 000.

Video hiyo ambayo ilirekodiwa kwa kutumia simu ya iphone na kubadilishwa kwenda kwenye fomati ya avi ilivuja baada ya boyfriend wa pokello kuitoa video hiyo na kumpa rafiki yake wa karibu huku akijisifu.
Katika video hiyo, Stunner anaonekana akizungumza mbele ya kioo cha kamera huku Pokello akiwa anatabasamu.

video mwishoni inamwonyesha, Pokello akiwa ana ananyonya uume wa Stunner huku Stunner akisema 'wewe msichana ni kituko'.
Chanzo kimoja kilisema Pokello alivujisha video yake mwenyewe na kudai kama siyo yeye aliyevujisha ni Kwa nini alikubali kufanya hivyo kama hawakuwa na nia ya watu kuiona?
Read More »
According to TMZ, rapper Lil Wayne was rushed to Cedars-Sinai Hospital in L.A on Tuesday night after suffering another seizure. He was treated and released yesterday morning.
Wayne then did a radio interview yesterday afternoon and explained he's an epileptic, and has been suffering from seizures since he was a kid.
Read More »
HAWA NDIO WATUMIAJI 11 WA MADAWA YA KULEVYA WENYE AKILI ZAIDI DUNIANI, OBAMA NAE YUMO. SOMA HAPA
10:54 PM 0 commentsSTEVE JOBS
Imeripotiwa kwamba mwanzilishi wa Apple alitumia madawa kweny muhula wa kwanza kule Reed College in Portland, Oregon mwaka 1972. Tangu aach shule, Jobs amekuwa moja ya watu wenye mafanikio zaidi nchini America na dunia nzima kwa ujumla. Mwaka 1984,medali ya Taifa ya Technology nchini Marekani kutoka kwa rais wa kipindi hicho Ronald Reagan. Mwaka 2007, Fortune Magazine walimtaja kama mtu mwenye nguvu zaidi kwenye biashara na kisha mwaka 2011 gavana wa California Arnold Schwarzeneggerallimuweka kwenye California Hall of Fame.pia walimtaja kama CEO wa muongo (CEO of the decade) mwaka 2009 huku Forbeswakimuweka #57 kwenye list ya “World’s Most Powerful People” mwaka huo huo.
Sir Richard Branson
Huku ile ‘Sir’ikimuweka kwenye list ya watu wanaoheshimiwa zaidi, hiyo sio sababu ya yeye kuwa kwenye hii list. Kinachomfanywa awekwe ni kwa sababu yeye anashika namba 236 kwenye watu matajiri zaidi duniani, mwanzilishi wa Virgin empire, ambayo inashughulika na vitu vingi kuanzia ndege mpaka maduka ya rekodi tofauti, simu,na ametengeneza utajiri wake from scratch.Sio tu kwamba a, he gets high with his 21-year-old son. alishasema mbele ya umati kwamba haoni tatizo kuhusu kutumia marijuana,na amefanya mchakato kuhalalisha utumiaji wake,na pia amesema kama ikiruhusiwa, atauza.
Michael Phelps
Jamaa ana medali nyingi za Olympics kuliko mtu mwingine yoyote.. Tangu alipopata skendo ya kutumia madawa, Phelps alishiriki interviews nyingi na kusema kuwa kilichotokea ni “bad judgment,”na kuahidi kwamba kilichotokea hakitajirudia tena… hamna kitu kama hicho.. Phelps . It might be his last, but it definitely wasn’t his first. hii inamaanisha kwamba unaweza ukawa mwanamichezo namba 1 duniani lakini bado unavuta pia.
Stereotype shattered.
Francis Crick
Alishinda tuzo ya Nobel kwa kugundua ul mpangilio wa “double-helix” kwenye DNA. Rumor has it that he was on acid at the time. . Akiwa kama muanzilishi wa Soma, kikundi halali cha cannabis, pia alifanyia uchunguzi marijuana, ambapo aliamini inasaidia kufanya mtu atoe mawazo akilini mwake.
Barack Obama
Karibia kila raisi wa Marekani kabla ya Barry , kuanzia Washington, Clinton mpaka Bush, historia yake imehusisha uvutaji wa marijuana. Clintonalijaribu kwa makusudi lakini akashindwa, Bush alikuwa super-mlevi,lakini alitumia madawa ya kulevya na marijuana mara moja moja, Washington alikuwa na shamba kabisa ya marijuana shambani kwake. But as far as we know, hakuna akiyewahi kukiri kama Obama. Ameandika kuhusu historia yake na kuvuta marijuana/madawa ikwenye kitabu chake Dreams of My Father, na mwaka 2007kwenye intrview alisema “When I was a kid I inhaled frequently. That was the point.” Yoyot yule anayejiuliza kuhusu mtumiaji wa Marijuana ana future gani, amuangalie vizuri Barack Obama.Sio tu unaweza kuwa na akili, unaweza kuwa hata rais.
Michael Bloomberg
Ameshawahi kutumia madawa alipokuwa mdogo?Kwa mdomo wake amekiri “You bet I did. And I enjoyed it!”
Ted Turner
Akiwa peke yake aliwezakuanzisha CNN, na mwaka 1991 Gazeti la Times lilimtaja kama Man of Th YearAnamiliki ardhi kubwa marekani na ana vituo vingine kadhaa nchini humo.Alilima marijuana bwenini kwak college.
Richard Feynman
Huyu ni mwanafizikia aliyesaidia kutengneza atomic bomb. Sikusema wote kwenye list hii wana busara. Feynman alitumia madawa akiwa anafanya tafiti mbali mbali akiwa maabara. Alipotoka,alishinda Nobel Prizekutokana na nadharia yake ya “quantum electrodynamics.”
Sergey Brin
Ana Bachelor of Science kutoka University of Maryland, Masters of Science kutoka Stanford na alichukua kozi za PhD Stanford kabla ya kuelekeza nguvu zake kuanzisha Google akiwa na Larry PageBaba yake ni profesa wa hesabu University of Maryland. Mama yake ni mtafiti wa Sayansi kwenye ofisi za NASA zilizopo Goddard Space Flight Center.Mke wake, Ann Wojcicki,ni biotech analyst aliye-graduate na Bachelor of Science in biology kutoka Yale University mwaka 1996. Kama Stve Jobs, ni mmoja wa watu matajiri zaidi duniani.
Arnold Schwarzenegger
Huyu ndio jamaa pekee kwenye hii list ambaye ameonekana kwenye video akivuta madawa. Schwarzenegger ameacha uvutaji tangu alipewa ofisi ya ugavana. According to Arnold, marijuana “is not a drug, it’s a leaf.”
Read More »
HUYU NDO MODAL KUTOKA GERMANY, ALIYEAMUA KWENDA KAZINI AKIWA UCHI WA MNYAMA. MCHEKI HAPA
7:14 AM 0 comments
A STUNNING model gives fellow commuters a wake-up call to remember by riding the train completely starkers. The brunette wore only glasses and shoes for her nude ride to work. And in place of clothes, she daubed herself with words describing what they might have expected her to have been wearing. Model rides without clothes Skin full view ... model rides without clothes TNI Press
The woman carried out the stunt in Dusseldorf, Germany. After boarding a train without blushing, the lady ensured she purchased a ticket before taking her seat as normal. THE model showed her flawless figure to fellow commuters on the train in Germany as part of an art project Stunned passengers gawked open-mouthed as the woman showed off her flawless figure.
Naked model on a train in Germany Wake-up call ... but some passengers on the train still managed to stay asleep TNI Press But remarkably, some of them gave barely a sideways glance as she walked through the carriage in the buff. The model’s naked journey was part of a project put together by Swiss artist Milo Moire. Entitled The Script System, the stunt was intended as a way of "shaking up the ordinary". Swiss artist dreamed up scheme to have naked model take a train ride in Germany Stunt ...
Swiss artist dreamed up scheme TNI Press Milo Moire said the model walking around the train without clothes was meant to make people think outside the box on their commute. He wrote on his website: “Radical nudity becomes the defence shield against the stereotypes and makes the artist invisble.” And he went on to say that the timing of the early morning stunt meant ordinary performance art was out of the question.
Read More »
The woman carried out the stunt in Dusseldorf, Germany. After boarding a train without blushing, the lady ensured she purchased a ticket before taking her seat as normal. THE model showed her flawless figure to fellow commuters on the train in Germany as part of an art project Stunned passengers gawked open-mouthed as the woman showed off her flawless figure.
Naked model on a train in Germany Wake-up call ... but some passengers on the train still managed to stay asleep TNI Press But remarkably, some of them gave barely a sideways glance as she walked through the carriage in the buff. The model’s naked journey was part of a project put together by Swiss artist Milo Moire. Entitled The Script System, the stunt was intended as a way of "shaking up the ordinary". Swiss artist dreamed up scheme to have naked model take a train ride in Germany Stunt ...
Swiss artist dreamed up scheme TNI Press Milo Moire said the model walking around the train without clothes was meant to make people think outside the box on their commute. He wrote on his website: “Radical nudity becomes the defence shield against the stereotypes and makes the artist invisble.” And he went on to say that the timing of the early morning stunt meant ordinary performance art was out of the question.
Read More »

Mchezaji wa mpira wa kikapu nchini Marekani mwenye asili ya Afrika Jason Collins amejitangaza kuwa yeye ni shoga hatua ambayo imewashitua watu wengi hususani wapenzi wa mchezo huo.
Jason Collins anakua mchezaji wa kwanza wa kimataifa mwanaume ambaye bado anacheza mpira wa kikapu kutangaza kuwa ni shoga huku akisema kuwa yeye ni mwanamme mweusi na ni shoga.
Rais wa Marekani Barack Obama amempongeza mwanababa huyo shoga mwenye umri wa miaka 34 anayecheza katika ligi ya NBA kwa kujitangaza hadharani.
Rais Obama ambaye mwaka jana alitangaza kuunga mkono ndoa za mashoga alimpigia simu Collins na kumpongeza kwa ujasiri alioonyesha na amesema atamuunga mkono.
Mchezaji wa zamani wa NBA John Amaechi mwaka 2007 alijitokeza hadharani na kutangaza kuwa ni shoga lakini yeye alifanya hivyo akiwa tayari amestaafu kucheza kikapu.
Naye Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton alimpigia simu Collins na kusema kuwa hatua hiyo ni muhimu kwa wanamichezo wa kimataifa na ni historia kwa jumuiya ya mashoga na wasagaji.
Binti wa Bill Clinton, Chelseea ambaye amesema kuwa alimfahamu Collins wakati wakiwa wanachuo katika chu kikuu cha Stanford na meandika katika ukurasa wake wa tweeter kwamba anaona fahari kubwa kwa rafiki yake Collins kwa kuwa na ujasiri wa kuwa mchezaji pekee wa NBA shoga na kuweka hadharani hali yake.
Jason Collins anakua mchezaji wa kwanza wa kimataifa mwanaume ambaye bado anacheza mpira wa kikapu kutangaza kuwa ni shoga huku akisema kuwa yeye ni mwanamme mweusi na ni shoga.
Rais wa Marekani Barack Obama amempongeza mwanababa huyo shoga mwenye umri wa miaka 34 anayecheza katika ligi ya NBA kwa kujitangaza hadharani.
Rais Obama ambaye mwaka jana alitangaza kuunga mkono ndoa za mashoga alimpigia simu Collins na kumpongeza kwa ujasiri alioonyesha na amesema atamuunga mkono.
Mchezaji wa zamani wa NBA John Amaechi mwaka 2007 alijitokeza hadharani na kutangaza kuwa ni shoga lakini yeye alifanya hivyo akiwa tayari amestaafu kucheza kikapu.
Naye Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton alimpigia simu Collins na kusema kuwa hatua hiyo ni muhimu kwa wanamichezo wa kimataifa na ni historia kwa jumuiya ya mashoga na wasagaji.
Binti wa Bill Clinton, Chelseea ambaye amesema kuwa alimfahamu Collins wakati wakiwa wanachuo katika chu kikuu cha Stanford na meandika katika ukurasa wake wa tweeter kwamba anaona fahari kubwa kwa rafiki yake Collins kwa kuwa na ujasiri wa kuwa mchezaji pekee wa NBA shoga na kuweka hadharani hali yake.
Read More »
Baba wa Chriss Brown Amtaja Msichana Ambae Angependa Mwanae Amuoe-Huyu Hapa See Pictures
7:06 AM 0 comments![]() |
Jordan Sparks Akionesha Tattoo yake |
Gazeti la New York Daily News limefanya Exclusive interview na baba mzazi wa mwimbaji staa Chris Brown na kutoa maoni yake kuhusu mahusiano ya kimapenzi ya mwanae na Rihanna RiRi.
Clinton Brown amesema “sioni maisha marefu kwa Chris Brown kuwa na Rihanna, sijawahi kupendezwa na kurudiana kwao, unajua ni lazima kwenye uhusiano wa kimapenzi uwe na mtu sahihi ambae ni hitaji la kweli na linaloweza kuwa lako kwenye maisha, lakini sio kama hivi”
Clinton amesema hapendi kutumia mifano lakini anadhani watu wameona mahusiano ya mastaa kama Whitney Houston, Michael Jackson, Amy Winehouse na wengine”
Kuhusu mrembo ambae angependa kuona anaolewa na mwanae, Clinton amemtaja Jordin Sparks kwa kusema “nimempenda Jordin, ni msichana mdogo lakini mwenye upeo mkubwa… ana akili na heshima”
Read More »
CHEKI HII NDO GARI AMBAYO RIHANNA AMEMNUNULIA MPENZI WAKE CHRISS BROWN KAMA ZAWADI KATIKA BIRTHDAY YAKE.
3:05 AM 0 commentsKatika kuhakikisha kuwa Breezy anafurahia birthday yake ya kutimiza miaka 24 May 4 mwaka huu, Rihanna ametumia paundi 700,000 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 1.7 za Tanzania kumnunulia gari mpenzi wake huyo aina ya ’2009 Mercedes-Benz SLR Stirling Moss’, limited edition ambapo ni gari 75 zilitengenezwa.

Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Sun: “Chris yupo Las Vegas na washkaji zake hivyo atapewa zawadi zake za birthday akirudi LA wiki ijayo.

“Rihanna ametumia zaidi ya sola mioni moja kununua zawadi kuu – a custom-made car,” kilisema chanzo hicho na kuongeza kuwa siti za gari hiyo zimeandikwa majina ya Chris.
Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Sun: “Chris yupo Las Vegas na washkaji zake hivyo atapewa zawadi zake za birthday akirudi LA wiki ijayo.
“Rihanna ametumia zaidi ya sola mioni moja kununua zawadi kuu – a custom-made car,” kilisema chanzo hicho na kuongeza kuwa siti za gari hiyo zimeandikwa majina ya Chris.
Read More »
Mapaparazzi ni noma sana, wameifatilia weeeee mpaka wamepata uhakika kwamba mwimbaji staa Justine Bieber na mpenzi wake Selena Gomez wamerudiana.
Unaambiwa mpango wa kurudiana ulithibitika wakati Bieber yuko Norway akifanya show, Selena nae alimfata….
Pilikapilika zao ndio zilifanya mkanda mzima upatikane ikiwemo Selena kuandika kwenye twitter.
Read More »
Unaambiwa mpango wa kurudiana ulithibitika wakati Bieber yuko Norway akifanya show, Selena nae alimfata….
Pilikapilika zao ndio zilifanya mkanda mzima upatikane ikiwemo Selena kuandika kwenye twitter.
Read More »
Read More »
Subscribe to:
Posts (Atom)