Showing posts with label mapenzi. Show all posts

HAKUNA MWANAUME ASIYE TAMANI KUTOKA NJE YA NDOA

0 comments
Uvaaji wa wanawake wa namna hii huamsha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume kwa kiwango kikubwa sana....

Carol Botwin ambaye ni mtaalamu anayeaminika sana kwenye masuala ya tendo la ndoa na uhusiano akiwa ameandika vitabu kadhaa kuhusu mambo hayo, kama kile cha Men Who Can’t Be Faithful, anasema, wanaume kutoka nje, siyo jambo wanalopanga, bali hujikuta tu na kujilaumu au kushangaa baadaye.

Imekuwa ikisemwa kwa siku nyingi na wataalamu wengi kwamba, wanaume hawahusishi kupenda na tendo la ndoa. Nadharia hii inaonekana kushika mizizi baada ya wengi kukubaliana nayo kufuatia utafiti wa kina kuhusu tabia za wanaume na wanawake katika mapenzi.

Kuna mifano mingi yenye kuashiria kwamba, huenda kuna wanaume wachache sana kama mimi ambao hawatoki nje, tena wachache sana. Hii inatokana na ukweli kwamba, hamu au msukumu wa wanaume kutoka nje ni kama wa kimaumbile, umejengwa ndani ya mwanaume, haupo nje.

Mwanaume anapotoka nje ya ndoa, hatoki kwa sababau anataka sana kutoka, hutoka zaidi kwa sababu kuna msukumo wa kutoka. Hatoki nje kwa sababu anampenda huyo anayetoka naye nje, hapana. Anatoka nje kwa sbabau anasukumwa na asichokijua.

Kwa hiyo wanawake wana changamoto kuhakikisha kwamba, wakati mwingine wasione aibu kuwalinda waume au wapenzi wao, kwani linapokuja suala la kutamani na kutenda, wanaume zao ni sawa na Beberu la mbuzi. Hadi wamalize au kukamilisha kiu yao, ndipo akili zao za kibinadamu zinaporejea.
Ndiyo maana hata mwanamke anashauriwa anapomfumania mumewe ajiulize kuhusu kiwango, namna ilivyotokea na kwa nini. Kama ni mara ya kwanza anamfumania, kama siyo kwa rafiki wa mke au mwanamke ambaye anawagusa wote wawili moja kwa moja na kama ilikuwa wanajificha sana na kufanya siri kubwa, mwanamke anatakiwa ajue kwamba, huenda mume amesukumwa na yale maumbile niliyozungumzia.

Kwa nini mwanaume anatoka nje na anafumaniwa, anaomba radhi, anasamehewa na halafu anatoka tena nje. Mke akitaka kuondoka, anatumia kila gharama kumzuia. Kama hampendi anamzuia wa kazi gani? Kama ingekuwa kutoka nje ni sawa na kupenda kwa mwanaume, si angeachana na mkewe na kubaki na huyo hawara?

Ni kweli kwamba, baadhi ya wanaume hutoka nje kwa sababau wamewachoka wake zao, lakini wengi hutoka nje kwa kusukumwa na mauambile tu. Mwanaume huvutwa na mwili tu wa mwanamke, siyo kitu kingine. Kwa namna anavyovaa tu, mwanamke huweza kumvuta mwanaume kwa kiwango cha juu sana. Nikisema kumvuta nina maana ya kumtamanisha.

Wataalamu wengi wanasema nguo zenye kuchokoza kama vile zile za kubana au nusu uchi kwa ujumla, huamsha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume kwa kiwango kikubwa zaidi, kuliko mwili wa kike ulio uchi.

Kwa hiyo wanawake wana changamoto kuhakikisha kwamba, wakati mwingine wasione aibu kuwalinda waume au wapenzi wao, kwani linapokuja suala la kutamani na kutenda, wanaume zao ni sawa na Beberu la mbuzi. Hadi wamalize au kukamilisha kiu yao, ndipo akili zao za kibinadamu zinaporejea.

Read More »

NAMPENDA MTOTO WA MJOMBA WA KIUME-NASHINDWA KUVUMILIA

0 comments
Jamani mie nimeshindwa ngoja niseme tu leo ...Mie ni msichana wa miaka 22 niko chuo UDSM mwaka wa pili , Wazazi wangu wanaishi Mwanza...Hapa dar huwa nafikia kwa mjomba wangu hasa week end huwa natoka hostel nakuja kwa mjomba..Mjomba wangu ana mtoto wa kiume wa miaka 28 nimetokea kumpenda jinsi alivyo mpole na Mstaarabu sana , huwa kila mara anakuja kunitembelea Hostel na akija nakuwa happy sana, Huwa nawadanganya Marafiki zangu kuwa ni Boyfriend wangu..Nampenda sana mpaka siku hizi nimeanza kumtega ili nilale nae ila naona kama bado hajashtukia, Juzi aliingia chumbani kwangu nikajifanya taulo limedondoka ila akatoka haraka na kufunga mlango...Mie nilidhani nae atapagawa na umbo langu ila laaa ...Nifanyaje ? Je kutembea na mtoto wa Mjomba ni Vibaya?

Read More »

HII KALI..!! KATEMBEA NA BABA NA MWANA NA WOTE ANAWATAKA....!!!

0 comments
Mie ni msichana wa miaka 27, naishi hapa hapa dar es salaam, mwaka mmoja nyuma nilipata mzee mmoja anajua kuhonga kweli kweli, alikuwa akinihudumia kwa kila kitu ila chumbani alikuwa hawezi mambo hata kidogo, mie nilimpenda sababu ya pesa zake, miezi mitatu baadae nilipata mtanashati mmoja ambae alikuwa ananiweza hata ndani ya ssita kwa sita kwani alikuwa ananipa mapenzi ya kweli mpaka nachanganyikiwa, majuzi huyu mtanashati wangu alinipeleka kwao ndipo hapo soo lilipoanzia kwani nilimkuta yule mzee ambae ndiyo buzi langu ndiye baba halisi wa mpenzi wangu, 

Tatizo linakuja nimpe nafasi yupi kwani nikiwa na huyu kijana sitakuwa na pesa na nikiwa na huyu mzee sitapata mapenzi ninayoyata, nifanyenini ndugu zangu???


Read More »

WANAFUNZI WA PRIMARY WANASWA WAKIFANYA MAPENZI.....

0 comments
clip_image003Wanafunzi wa shule moja ya msingi walinaswa wakifanya ngono kichakani huku wakiwa bado wamevaa unfom za shule kitu ambacho kinaendeleza matukio ya kumomonyoka kwa maadili hasa kwa jamii ya kiafrika 
Now, children are beginning to do what is not supposed to be done or talked about at their age, but the blame we don't feel should be put on them, because most of them is from peer pressure, seeing it's too much in their daily lives that they now think its normal and so many other things.
It was not long ago that we saw two students kíssing in class, guess that one was only a little.
Here these two secondary school students are doing it in the forest within their school. These days, its not much of a big deal, and if people don't come to see what they are doing by allowing students watch bad movie which nollywood producers have began to show like this one "Bold 5 Babes" then the future will only be worse.
Hapa sasa tunaanza kuona ile kauli ya Mh,Rais Wanafunzi wanaopata mimba ni vihere here vyao!

Read More »

LOVE ZONE: DALILI NANE (8) ZA MWANAMKE ANAYETOKA NJE YA NDOA

0 comments

Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.
Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi wake kutoka nje ya ndoa.  Uchunguzi wa kina kufuatia dalili hizi ni muhimu sana.
Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya dalili zinazoweza kuonyeshwa na mwanamke ambaye anatoka au yupo kwenye harakati za kutoka nje ya ndoa yake:

1. KUCHELEWA: Kuna wakati mwanamke anaweza kuaga kwamba anakwenda saluni au kusuka, badala ya kurejea kwa muda ambao umezoeleka, anachukua muda mrefu hata mara tatu zaidi. kuna wakati kwenda sokoni huchukua saa kadhaa bila kujali soko liko umbali gani. Kama ni mara moja sawa, lakini ikishakuwa zaidi ya mara moja huenda kuna tatizo la kukosa uaminifu.

2. KUBADILI MAENEO: Hebu chukulia kwamba, mwanamke amezoea kwenda soko fulani la karibu, hospitali fulani ya karibu, saluni fulani ya karibu na hata nyumba fulani ya ibada ya karibu. Unapoona anahama maeneo ya karibu ya huduma na kwenda ya mbali, bila sababu ya msingi, huna budi kuanza kutuhumu mwenendo mbaya.
Siyo lazima kuhama kokote kuwe na mwenendo mbaya, lakini kama kuhama kwenyewe kunatia shaka kwa sababu maelezo ya kuhama huko hayana msingi, mwanaume ana kila sababu ya kuchunguza kama hakuna usaliti unaofanywa.

3. UNUNUZI USIO WA KAWAIDA: Kama mwanamke anatoka nje ya ndoa yake kwa ajili ya kupata fedha, basi atakuwa na mabadiliko makubwa katika mtindo wake wa manunuzi.
Atakuwa ananunua vitu vya thamani kubwa kuliko uwezo wake, atakuwa na fedha nyingi tofauti na ambazo angekuwa nazo na pengine kumiliki mali kama nyumba kwa siri.

4. KUANZISHA VURUGU:
Kuna wakati mwanamke anayetoka nje ya ndoa huanzisha vurugu za makusudi na mumewe. Lengo la kuanzisha vurugu hizo ni ili apate nafasi ya kujifanya amezira na kuondoka nyumbani kwa muda.

Huo muda anapoondoka nyumbani kujifanya kakerwa na vurugu hizo ndiyo muda ambao anautumia kwenda kwa hawara yake.

5. KUSITISHA UAMINIFU: Mwanamke anayetoka nje ya ndoa, mara nyingi husimamisha kumwamini mumewe, yaani hayuko tayari kushiriki masuala ya siri, ambayo wanandoa huwa wanashiriki.
Husita kumshirikisha mumewe kwenye mambo yake mengi. Lakini pia husita kumuomba mumewe ushauri, kama alivyokuwa akifanya siku za nyuma.

6. KUACHA KUVAA PETE: Kuna sababu nyingi ni kwa nini mwanamke anaweza kuacha kuvaa pete yake ya ndoa. Moja ya sababu hizo ni kusalitiwa na mumewe au ndoa yake kuwa kwenye misukosuko mikubwa sana.
Lakini nje ya misukosuko mikubwa ya ndoa, sababu nyingine inayoweza kumpelekea mwanamke kuvua mara kwa mara au moja kwa moja pete yake ya ndoa, ni kuwa na uhusiano nje ya ndoa yake.


7. KUONESHA WASIWASI: Kama mwanamke anatoka nje ya ndoa yake , ni lazima atakuwa na wasiwasi na mashaka yasiyo na sababu mbele ya mume wake.
Anaweza kuonesha kutotulia kwa aina fulani kana kwamba, anahofia kuna siri itatoka au kuna kitu ambacho tayari mume wake anakijua dhidi yake. Mara nyingi wasiwasi na mashaka humtawala sana mwanamke anayetoka nje , hasa katika hatua zake za awali za kutoka nje.

8. KUZUNGUMZIA KUACHWA: Kuna wakati mwanamke anaweza kuwa anatoa kauli za kuonesha kwamba, kama mwanaume anaona vipi , wanaweza kuachana.
Kama kila penye ugomvi kidogo tu mwanamke anakimbilia kusema, “kama ni kuachana, tuachane tu” hiyo inaweza kuwa ni dalili mbaya kwa mwanamke anayetoka nje ya ndoa kwa sababu hana tena upendo na mumewe

Read More »

NGONO ZEMBE SEHEMU ZA KAZI-WANAWAKE HATARINI KUPATA MAGONJWA

0 comments
Kwa miaka mitatu iliyopita, Rehema Nduguru (50) anayeishi Mkoa wa Njombe alikuwa katika mazingira hatarishi ya kupata magonjwa ya ngono ikiwamo Ukimwi kutokana na kazi yake ya uhudumu wa baa.
Akitoa maelezo yake jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Rehema anasema kutokana na kazi hiyo alikuwa akilazimika kufanya ngono zembe ili kujiongezea kipato. Hata hivyo, anashukuru Mungu hakupata maambukizi ya Ukimwi.
“Wakati tukifanya kazi hiyo, mimi na wenzangu tulikuwa tukifanya ngono zembe, hasa na madereva wa magari ya mizigo yanayoegeshwa karibu na baa tulizokuwa tukifanyia kazi,” alisema Rehema.
Hata hivyo, Rehema sasa ameachana na kazi hiyo na amepata msaada kutoka Shirika la Kazi duniani (ILO).
“ILO walikuja Njombe na kutushauri tuunde vikundi ambapo tulipewa fedha zilizotuwezesha kufanya kazi zenye staha. Sasa ninauza nguo sokoni na ninapata fedha za kutosha kutokana na biashara hiyo. Tumeanzisha ushirika wa kuweka na kukopa (Saccos) ambayo inatuwezesha kujiendeleza kiuchumi,” anasema.
Kwa upande wake Mwajuma Sabuni anayefanya kazi katika kiwanda kimoja jijini Dar es Salaam (jina linahifadhiwa) analalamikia unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa waajiri wao.
“Nimefanya kazi katika kiwanda hiki kwa miaka saba sasa. Kwa miaka miwili ya awali nilifanya kazi kama kibarua, lakini baadaye nikaingizwa kwenye mkataba wa kazi na kuanza kukatwa mafao ya uzeeni na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), bila kupewa kadi ya uanachama na mwajiri wangu. Hadi sasa sijui hatima ya pensheni yangu,” anasema na kuongeza:
“Kwa jumla hali ya ajira katika kiwanda hiki ni ngumu hasa sisi wafanyakazi wa kike kwani rushwa ya ngono iko nje nje. Wasimamizi wa vitengo ndiyo wahusika na ukiwakataa ajira yako inakuwa hatarini. Licha ya kuwepo kwa Chama cha Wafanyakazi (Tuico) kinachojua kero zote hizi, bado hazijashughulikiwa. Naiomba Serikali iingilie katika kwa kuchunguza madai haya kwani tunanyanyasika mno.”
Maelezo ya wanawake hawa yanawakilisha kilio cha wafanyakazi wengi wanaonyanyaswa kijinsia kutokana na kazi zao. Wengi hulazimika kujiingiza kwenye ngono zisizo salama, hivyo kuhatarisha maisha yao hasa kwa kupata ugonjwa wa Ukimwi.
Katika mkutano wa wadau wa kupambana na ugonjwa wa Ukimwi, hasa maeneo ya kazi uliofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, wadau wanasema kuwa wanawake na wasichana wako kwenye hatari zaidi ya kuathirika na ugonjwa huo na kwamba hatua stahiki zinapaswa kuchukuliwa ili kukabilia na tatizo hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids), Dk Fatma Mrisho anasema kuwa makundi ya wanawake walijitokeza kuomba msaada ili kujikwamua kimaisha na kujilinda.
“Hatari ya wanawake hawa kuathirika na Ukimwi ni kubwa mno. Ni changamoto kubwa inayohitaji jitihada za kila mmoja wetu,” anasema Dk Mrisho.

Read More »

MAPENZI SAWA ILA JARIBU KUIHESHIMU IMANI YA MWENZAKO!

0 comments
NDUGU zangu, licha ya kwamba baadhi yetu tuko kwenye swaumu, bado tunalo jukumu la kukumbushana yale ambayo yanagusa maisha yetu ya kimapenzi kwani mapenzi yataendelea kuchukua nafasi kubwa katika maisha yetu ya kila siku.
Katika ulimwengu wa sasa ukifuatilia utabaini kuwa, dini, kabila na rangi si vigezo vya kuangalia pale mtu anapotafuta mwenza wa maisha. Kutokana na hilo ndiyo maana leo hii unakuta Waislam wengi wako kwenye uhusiano wa kimapenzi na Wakristo.
 Si suala la uhusiano wa kawaida tu bali pia wapo ambao wanafikia hatua ya kubadilisha dini ili waishi kama mke na mume. Hilo si jambo baya kwani dini zote ni sawa kwa kuwa zinaamini uwepo wa Mungu.
 Ninachotaka kukizungumza hapa kinawagusa wale ambao ni Wakristo na wako kwenye uhusiano na Waislam. Kwa mfano, kama wewe ni mwanaume Mkristo na una mpenzi wako ambaye ni Muislam, unatakiwa kumuunga mkono ili aweze kutimiza kipengele hicho muhimu cha dini yake.
Lakini wakati usahihi ukiwa hivyo, nimeshaanza kupokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanawake wakieleza namna wapenzi wao wanavyowatibulia swaumu zao.
Malalamiko yamekuwa mengi ila huyu aliyejitambulisha kwa jina la Husna wa Magomeni jijini Dar anaweza kuwasilisha kile ambacho wengi wamenilalamikia na hatimaye akanisukuma kuandika mada hii. Hebu msikie:
Mimi naitwa Husna, dini yangu ni Muislam. Hivi karibuni nilibahatika kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ambaye nilimpenda sana naye akaonesha kunipenda kwa dhati.
Yeye ni Mkristo lakini alisema baadaye tutaangalia ni nani abadili dini ili tuweze kuoana. Kwa kuwa nilimpenda, nilikubaliana naye. Kinachonifanya niombe ushauri kwako ni kwamba, juzi baada ya mimi kuanza kufunga, huyu mpenzi wangu amekuwa akinilazimisha jioni niende kufanya naye mapenzi.
Hili ni kinyume na imani yangu lakini mwenzangu naona hanielewi. Inafika wakati tukikutana mchana ananishikashika, nikimwambia aniache kwa kuwa nimefunga, anakasirika. Kwa kifupi naona uhusiano wangu unaelekea kusiko.
Ndugu zangu, yawezekana Husna ni mmoja tu kati ya wale ambao wanakutana na mazingira haya. Ninachoweza kusema ni kwamba, kama umetokea kumpenda mtu ambaye ana imani tofauti, iheshimu imani yake. Kama mpenzi wako ni Muislam, mpe uhuru wa kufanya ibada.
Usifikie hatua ya kumkataza mpenzi wako asifunge eti ili muwe huru kukutana na kufanya yale ambayo dini yake inakataza. Kwa kufanya hivyo kwanza utaonesha kutoiheshimu imani ya mwenzako lakini pia mapenzi yako yataonekana ni feki.
Ni vyema kipindi hiki ikiwezekana mkawa mbalimbali kama hamjaoana. Wasilianeni, shaurianeni, saidianeni na pale inapobidi kutaneni lakini kila mmoja ahakikishe anayaepuka yale ambayo yanaweza kutibua swaumu.
Wewe msichana ambaye una mpenzi wako Muislam unatakiwa kumsaidia mwenzako amalize kipindi hiki bila kumharibia. Usimvalie vivazi vya kimitego, usimtumie sms za kimapenzi zinazoweza kuamsha hisia za mapenzi na usilazimishe kufanyiwa yale ambayo huenda yakaharibu swaumu ya mwenzako.
Nasema hivyo kwa kuwa, wapo wasichana micharuko, wengine ni Waislam majina ambao licha ya kwamba huu ni mwezi mtukufu wao wala hawajali. Wanawavalia wapenzi wao kihasara, hawakawii hata kulazimisha wapewe penzi wakati wanajua ni dhambi kubwa katika kipindi hiki.
 Nawasihi ndugu zangu tumuogope Mungu, yale yote yanayogusa imani zetu tuwe nayo makini kwani bila hivyo Mungu anaweza kutuadhibu na kujikuta tunayaona mapenzi ni machungu.

Read More »

SEHEMU NYETI 12 ZINAZOMPA RAHA MWANAMKE

0 comments
Image
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu. Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili.

Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji wake Mungu.

1. MIDOMO YAKE.
Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu).

2. UKE NA KINEMBE.
Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye matako) ukipandisha juu, fanya hivyo mara kadhaa. Kutegemea umbo lako na urefu, unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na majimaji yakiongezeka kwenye uke.

Kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri zoezi la hapo juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka. Kinembe kipo juu kabisa ya mfereji wa uke na kina ukubwa wa harage au kwa wanawake wengine huwa kidogo zaidi. Tumia kidole chako cha kwanza na taratibu zungusha zungusha kidole juu ya kinembe, pandisha na kushusha kidole chako na hapo unaweza kumfikisha kwenye kilele cha utamu wa mapenzi hata kabla ya hujaiingiza uume.

Wanawake wengi watafurahia ukitumia uume wako uliosimama vizuri kupigapiga eneo la kinembe na hii huufanya uume kuwa wa moto na unapomwingilia joto la uume wako litafanya raha ya tendo hili kuwa kubwa zaidi. Kinembe ndio sehemu ambayo kwa asilima 80 huhusika na kazi ya kumfikisha mwanamke kileleni na kwa kuwa kinembe kiko mbali kidogo toka kwenye tundu la uke, sio rahisi kwa uume kukifikia kinembe, hivyo mwanaume anatakiwa ajisukume kwa makusudi kabisa kwenda mbele ili shina la uumelisugue kinembe wakati wa kuingia na kutoka kwa uume.

3. MATITI YAKE.
Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa mwanamke kama ilivyo kwa uke wake. Utampatia raha kamili mwanamke kama utayapapasa papasa matiti yake utayaminyaminya kwa upole wa kimahaba, utayalambalamba na kuyanyonya.

4. MASIKIO YAKE.
Wanawake wengi hupata burudani masikio yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.

5. SEHEMU YA NYUMA YA SHINGO
Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo wa kutekenya tekenya.Tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.

6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI.
Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ambavyo mwanamke atapata burudani kwa kuishughulikia vyema sehemu hii.

7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA.
Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini sehemu ya ndani ya mapaja yake, fanya hivyo juu juu huku ukimbusu busu mapaja yake.

8. MATAKO YAKE.
Wanawake wengi wanapenda matako yao yachezewe kimahaba,anza kwa kuyapapasa papasa,endelea kwa kuyaminya minya kwa kutumia vidole.

9. MIISHO YAKE.
Miguu yake imejaa miishio ya mishipa ya fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.

10. USO WAKE.
Mwanamke atafurahi sana utakaposhika uso wake katika hali ya mahaba na huku ukitabasamu. Wakati ukifanya hivyo unaweza kumbusu midomo yake, mashavu na kwenye paji la uso.

11. HIPS ZAKE.
Sehemu hii ni moja ya sehemu ambazo zitamfanya mwanamke ajisikie amekubalika kabisa iwapo utashika wakati wa tendo la ndoa.

12. G-SPOT :lol:
Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa bonyezwa, sehemu hii ipo sentimeta 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.Sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa ipasavyo mwanamke anaweza akapizi mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja. Hii ni njia rahisi ya kumfikisha mwanamke kileleni, mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na kusugua sehemu ya juu ya uke, sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri
inavyobonyezwa.

Mwanamke anawezakujisikia kama anataka kukojoa kabisa na hawezi kukojoa ila raha atakayopata ni kubwa sana.

NB.Ni muhimu kutambua kuwa sehemu hizi 12 ni muhimu. Suala lililo muhimu sana ni wawili wapendanao kuwa wawazi na wawe na uhuru wa kuambiana jinsi wanavyojisikia

Read More »

NILIMDANGANYA BOYFRIEND WANGU KUWA KWETU NI MATAJIRI SASA ANATAKA KUWAONA WAZAZI WANGU

0 comments
Nilipokutana na Boyfriend wangu miaka miwili iliyopita sasa kosa nililofanya ambalo nalijutia ni kujifanya kwetu ni Matajiri huwa namdanganya vitu vingi sana ikiwemo kuwa kuwa Baba angu na Mama angu wanaishi Mbezi Beach na kwenye Nyumba ya Ghorofa , Ila ukweli wazazi wangu ni Masikini wa Kutupwa wanaishi Bagamoyo Ndani ndani ...Sasa kijana huyu amekuwa serious kwa sasa anataka kunioa na mimi ki ukweli kadri siku zinavyokwenda nimezidi kumpenda sana,,Anataka nikamtambulishe Home ili Aaanze Maandalizi ya Harusi....Sasa Sijui nifanyaje ..Mweeeeee

Read More »

SHEMEJI YANGU ANANITEGA MPAKA IMEKUWA SHIDA..!! HAYA NDIYO MATOKEO YAKE SASA

0 comments

Mimi na girlfriend wangu
tulikuwa tunapendana
sana. Tulikuwa
tumeishakuwa pamoja
kwa muda wa miaka
minne hivi, na hivyo tukaamua tuoane.
Ila kulikuwa na jambo
moja dogo lililokuwa
likinisumbua sana, nalo si
linguine bali ni mdogo
wake wa kike ambae kiukweli alikuwa mzuri
sana.
Huyo binti (shemeji
yangu) alikuwa na umri
wa miaka ishirini na moja
hivi, na muda wote alipendelea kuvaa sketi
fupi fupi na fulana
nyepesi au brauzi
zinazoonesha mwili
wake.
Na kwa jinsi kifua chake kilivyo alikuwa hahitaji
kuvaa sidiria, naamini
unapata picha ya mtu
nnayejaribu
kumzungumzia.
Pamoja na binti huyu kuwa mwembamba kiasi,
alikuwa na umbo la
ajabu, yaani kiuno chake
kiliumbwa mithiri ya
nyingu mweusi.
Tatizo ni kwamba mara nyingi binti alipokuwa
akiniona alikuwa na tabia
ya kujipitisha pitisha na
kuinama mbele yangu ili
kunionesha mtaji wake.
Kusema kweli nilikuwa navutiwa sana na uzuri
wake, na pia nilijua
alikuwa ananifanyia
makusudi maana alikuwa
hafanyi hivyo kukiwa na
watu wengine, bila shaka alikuwa ananitaka.
Siku moja binti huyo
alinipigia simu niende
nyumbani kwake
nikaangalie kadi za
mialiko ya harusi alizokuwa amechapisha,
nilipofika (wakati naingia
ndani) akaninong'oneza
kuwa ananitamani sana
na kamwe hawezi
kujizuia. Akaendelea kunieleza
kuwa anahitaji tufanye
mapenzi kabla sijafunga
ndoa na dada yake ili
nisijisikie vibaya kwamba
natoka nje ya ndoa. Nilipatwa na bumbuwazi
na hasa kutokana na
nguo za nusu uchi
alizokuwa amevaa.
Kabla sijamwambia lolote
akaniwahi na kusema "Mimi natangulia juu
(ghorofani) kwenye
chumba changu, kama
unahitaji nikupe kitu
kitamu njoo haraka
kabla mashetani yangu hayajapoa" akageuka na
kukimbilia chumbani.
Haraka nikageuka na
kuelekea mlango
mkubwa wa kutoka nje
kutaka kuelekea kwenye gari yangu.
Daaah...! Kwa mshangao
mkubwa nikaona pale
nje familia yote
imekusanyika,
waliponiona nikitoka wakanipigia makofi na
vigelegele kwa furaha,
huku wengine machozi
yakiwatoka kwa furaha.
Baba mkwe akaniambia
"Tumefurahi sana kwamba umeshinda
mtihani mdogo wa
uaminifu ulioandaliwa na
familia. Ila kiukweli unajua ni nini
hasa kilikuwa kinafata...?
Ukweli ni kwamba MDA
ULE NATOKA KULE NDANI
NILIKUWA NAENDA
KWENYE GARI KUCHUKUA CONDOM…!

Read More »

UTAFITI: WANAUME HUVUTIWA ZAIDI NA SURA WANAPOTAFUTA MKE LAKINI HUVUTIWA NA UMBO WANAPOTAFUTA MWANAMKE WA "KUCHEZEA"

0 comments
  • Mabinti: Siri imeshafichuka na inavyoonekana wanasayansi tayari wameshafumbua lile fumbo tata la nani mwoaji na nani mbabaishaji tu mtaka uroda.
  • Siku nyingine mpenziyo mpya akikuambia kwamba sababu yake kuu ya kukupenda ni miguu yako, macho, kiuno, matiti, umbo namba nane au sababu zingine za kiumbo, kuna uwezekano mkubwa kwamba huyo njemba si mwoaji bali ni mtafuta uroda tu.
  • Utafiti mpya uliofanywa katika Chuo Kikuu cha Texas, Austin unaonyesha kwamba wanaume hutumia vigezo tofauti wanapotafuta mwenzi.
  • Kama lengo ni kutafuta mwenzi wa kudumu (mf. mke) basi wanaume wengi hupendelea wanawake wenye sura nzuri lakini kama lengo ni uhusiano wa muda mfupi tu (mf. kutimiza tamaa za ngono za muda mfupi) basi wanaume wengi hutafuta wanawake wenye maumbo mazuri wayatamaniyo.
  • Watafiti hawa wamegundua kwamba, japo umbo ni muhimu kidogo katika mahusiano ya muda mrefu, uso ni muhimu zaidi kwa sababu ndicho kiashiria kizuri cha umri na “rutuba” ya mwanamke.
  • Swali: Kuna ukweli wo wote katika utafiti huu? Kinachonishangaza mimi ni kwamba suala la tabia  ya mwanamke - na hata Noeclexis- halitajwi kabisa katika utafiti huu, jambo ambalo nafikiri lilikuwa (na pengine bado) ni la muhimu katika jamii nyingi za Kiafrika.

Read More »

Kwanini Wanawake Warembo Hupenda Kuolewa na Wanaume Wenye Sura Mbaya????

0 comments

WANAWAKE wengi waliowazuri wa sura huwa wanapenda kuolewa na wanaume wabaya wa sura. Hii inatokana na ukweli kwamba wanawake wenye sura nzuri hupenda kuolewa na wanaume wenye sura mbaya ili kulinda uzuri wao kwani wanaamini kuwa iwapo ataolewa na mwanaume mwenye sura nzuri, uzuri wake hautaonekana kwa watu kwani mwanaume pia ataonekana mzuri jambo ambalo litamupunguzia mwanamke kuonekana mzuri katika jamii. Hii ndio maana wanawake wengi wenye sura nzuri wanapenda kuolewa na wanaume wenye sura mbaya. Dr. Linda Mtaalamu wa masuala ya mapenzi na uhusiano anasema " Wanawake wengi wenye sura nzuri wanatabia ya kutaka waonekane kuwa ni warembo, jambo ambalo linawapelekea kuolewa na wanaume wenye sura mbaya ili waendelee kushine katika jamii".

Pia wanaume wenye sura mbaya wanapenda kuoa wanawake wenye sura nzuri ili kulinda hishima yao kwa kupitia  wake zao. Kwahili ndugu msomaji naomba ujaribu kufanya uchunguzi wa kina kwa kuangalia wanaume wenye sura mbaya, utagundua kuwa wengi wao wanapenda kuoa wanawake wazuri na wengi wao tayari wameshaoa wanawake warembo. Je, kwa upande wa wanawake weusi; je, wanapenda wanaume wa aina gani? Na kwa upande wa wanaume weusi pia wanapenda wanawake wa aina gani? Pia na wewe kama unajitabua kuwa uko hivi au vile je, unapenda sweetheart wako aweje. Sasa tujadili.........................!!!!!

Read More »

MAPENZI:MAMBO WASIYOYAPENDA WANAUME PINDI WANAPOKUWA KWENYE 6*6 NA WAPENZI WAO:

0 comments

clip_image002Kwa kawaida wanaume ni viongozi pale wanapofanya tendo la kujamiiana na wapenzi wao au wenzi wao, kwa maana ya kuwaelekeza wapenzi wao wawafanyie hivi au vile ili kuongeza ashki ya tendo. Kitu ambacho si rahisi kwao ni kuzungumzia ni mambo ambayo hayakuwafurahisha wakati wa kufanya tendo hilo, hususani yale ambayo yanayomfanya kupoteza msisimko au ashki ya kuendelea na tendo. Hapa chini nimeeleza baadhi ya mambo yasiyowapendeza wanaume wakati wa kujamiiana na wenzi wao lakini wanashindwa kusema kutokana na kuogopa kuwakwaza wapenzi wao:-
1)KUJIBU UJUMBE WA SIMU
Kama mwanaume atajibu ujumbe wa simu katikati ya tendo au wakati akimuandaa mwenzi wake kabla ya tendo au dakika chache baada ya kumaliza tendo, mwanamke anaweza kuchukulia kitendo hicho kama vile hathaminiwi na mwanaume huyo na atachukulia kitendo hicho kama vile mwanaume huyo anamtumia tu kumaliza matamanio yake ya ngono ingawa hatasema. Lakini kama kitendo hicho kikifanywa na mwanamke, mwanaume atakichukulia kama vile amedharauliwa kupita kiasi na kinaweza kimsababishi mwanaume kukosa msisismko wa kuendelea na tendo au hata kama akiendelea hatokuwa na ufanisi kama alivyokusudia.

2)KUTAJA JINA LA MWINGINE
Kuna wakati mwanamke anaweza kumwambia mpenzi wake wawapo kitandani, kwamba mpenzi wa rafiki yake huwa anamfanyia huyo rafiki yake hivi au vile wanapokuwa kitandani na angependa na yeye afanyiwe hivyo na huyo mpenzi wake. au anaweza kumwambia mpenzi wake vile alivyokuwa akifanyiwa na mpenzi wake wa zamani waliyeachana na akataka afanyiwe hivyo.
Hilo ni kosa kubwa sana kutaja wanaume wengine ukiwa na mwenzi wako au mpenzi wako kitandani na wala usije akavuta taswira ya mwanaume mwingine unayempenda wakati wa kufanya tendo ili ufike kileleni, kwani unaweza kujikuta ukitaja jina la huyo mwanaume na kuzua balaa. Mazungumzo yako na mashoga zako kuhusu ngono yaweke pembeni kwanza wakati unapojamiiana na mwenzi wako.
#3)KUMWAMBIA MPENZI KWAMBA ULIJIFUNZA MAHALI FULANI
Sio vibaya kama utajifunza mambo fulani fulani kuhusu mbinu za kujamiiana kwa ufanisi kupitia magazeti au majarida, lakini si vyema kumwambia mpenzi wako kwamba mbinu fulani na fulani kuhusu kujamiiana ulijifunza kupitia gazeti au jarida fulani. Kufanya hivyo kutamfanya mpenzi wako akuone kama vile wewe sio mbunifu na mtundu kitandani mpaka ukatafute kwenye magazeti.

4) KUOMBA RADHI KABLA YA TENDO KWAMBA ULISAHAU KUNYOA
Kumuomba radhi mwanaume kwamba ulisahau kunyoa nywele za sehemu zako za siri wakati mkijiandaa kufanya tendo kunaweza kumkwaza mwanaume kwa sababu wapo wanaume ambao hupenda sana kujamiaana na wanawake ambao nywele za sehemu zao za siri hazijanyolewa kipara kabisa, kwa maana ndio kwanza zinachipua au zimekua kidogo lakini sio msitu.
Sasa unapomuomba radhi kwamba ulisahau kuvyoa, je unajuaje kama hapendi hizo nywele za chini? Kumbuka kwamba sio kila kinachokukera kuhusu mwili wako kitamkera na mwenzako.
5)UKIMYA KUPITA KIASI
Wanawake wengi wanajisikia aibu kupiga makelele wakati wa tendo. Usifanye hivyo. Wanaume hupenda sana wanawake wanapopiga makelele wakati wa tendo. Naomba nieleweke, sio makelele ya kuigiza, nazungumzia yale makelele yanayokuja yenyewe bila kulazimisha kwani pale inapokuja hali ya kutaka kupiga kelele kutokana na kunogewa na tendo kisha ukajitahidi kuzuia, ukweli ni kwamba hutalifurahia tendo na badala utaelekeza akili yako katika kuzuia kufanya kile ambacho hisia zina kulazimisha kukifanya.
::::::::::USIKOSE SOMO LIJALO:::::::::


Read More »

MSHANGAENI HUYU DADA, ETI ANAPENDA ANAVOKUWA ANAFANYA MAPENZI NA BABA YAKE MZAZI

0 comments
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, Nina mpenda baba kimapenzi kupita maelezo, Nimekua nae katika mahusiano takribani miezi minne na baba yangu kitandani ni fundi kupita maelezo na amekua akiniridhisha mpaka nasahau shida za dunia,

Tatizo nimekuwa na wivu zana na mama kwa maana huwa wanalala wote na baba sasa nahisi usiku huwa wanafanya mambo sasa hilo swala limekuwa likiniumiza sana akili yangu. Nawaza mama aondoke aende mbali kabisa aniache na baba ili niweze kuenjoy maana huwa ananipatia na ninaamini ninampa kitu roho inapenda, Sihitaji mwanaume mwingine zaidi ya baba yangu  

Nishauri nifanye nini wadau


Read More »

MFANYAKAZI WA BENK AKILI KULALA NA WANAUME 56 KWA WIKI IKIWEMO BOSI WAKE

0 comments

To his disbelief the 26 years old lady who identified herself as Ella, boldly told our reporter that she loves sex so much so that she enjoys it more than real food.

According to the lady whose I.D Card revealed that she is a marketer with one of the new generation banks, she likes coming to the beach side which is very close her house, every evening to chill out and 'most importantly get laid'.

"See, I don't need money from any guy. All I want is good, hot sex! But my the problem I have with most of you guys is that you are not bold enough to ask a girl you just met for sex even though you all want it.
Most girls want it too, they want you to just make the move to shag them, even if they are complaining or
insulting you don't stop. You know we girls pretend a lot," she opened up.

As if that was not enough, Ella threw the bombshell "I have sex with my boss every day in his office.  The chauffeur too every evening, but they can't satisfy me at all. That's why I have to come here every evening to get laid by more guys. I must have sex at least 8 times every day. It's like heaven!".

Ella went on to explain to our reporter that she couldn't wait to complete this week's dose of 56 rounds of hot sex.

She also acknowledged the fact that many would think it is abnormal, but she insisted that making love eight times a day can't really satisfy her.
She believes that there is nothing wrong in being a sex addict.

"All the men I have met always have to admit they can't cope with my sexual urge. I have sex about eight times on an average daily."


Read More »

KUFIKA KILELENI KWA MWANAMKE NDIO KUKOJE?

0 comments
"Mimi ni mwanamke wa miaka 30 tatizo kubwa linalonitatiza ni kuwa wakati wa kungonoka na mr. Nitajuaje kama nami pia nimekojoa??ebu nijue shosti coz huwa napata mtihani mkubwa sana sijui kama nishawahi "kukojoa" au la!

Kuna siku nyingine huwa napata raha up to the maximum yaani hadi nalia machozi kabisa sasa sijui huwa huko ndio "nakojoa" kwenyewe au ni mautamu tu?
Please i need the tips za kuniwezesha kutambua "kukojoa"thanx mumy! yours raht!"


Read More »

MKASA: "HIVI NDIVYO NILIVYOAMBUKIZWA UKIMWI NA MWANAMKE MSAGAJI".....MWATHIRIKA

0 comments
Zuwena ( sio jina lake halisi ), ni mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 43. Kwa sasa mwanadada huyu anaishi na virusi vya ukimwi. Mwanadada huyu anabainisha namna, alivyo pata maambukizi ya v.v.u kw kujamiiana na mwanamke mwenzake, ama kwa lugha nyingine, Zuwena anaeleza namna ambavyo mwanamke msagaji alimuambukiza v.v.u wakati wakiwa na uhusiano wa jinsi moja... Fuatilia kisa hiki cha kufundisha na kusikitisha.



Nakumbuka ilikuwa mwezi wa kumi na mbili mwaka 2007, nilipata tenda ya u MC katika sherehe ya kumuaga binti wa jirani yangu kule Buza Cape Town. Sherehe hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa Mihogoni Pub kulekule Buza.

 
Saa moja usiku nilikuwa nimeshafika ukumbini na kutoa maelekezo kwa wageni waalikwa, watu walikuwa wengi kiasi ambacho hata mama mwenye sherehe alifurahi kwa jinsi watu walivyo muitikia. Kama kawaida niliendelea na matangazo ya hapa na pale, watu walicheza na kufurahi. Muda wa chakula ulipowadia nilikaa pembeni nikiwa naangalia watu wanavyo kwenda kuchukua chakula. Ghafla alitokea mama mmoja mtu mzima kwa kumkadiria alikuwa na miaka kama 48 – 50 hivi. Alinifata pale nilipokuwa nimesimama na kuanza kutoa sifa za hapa na pale mara umependeza , mara unaongea vizuri, mara vazi ulilovaa limekupendeza, mwisho aliniomba namba ya simu akaniambia kuwa ana sherehe ya kumuaga binti yake kwa hiyo angependa niwe MC katika shughuli yake. Kwa kweli mimi nilikuwa kazini, sikukataa kumpa namba yangu.
Kesho yake alinipigia simu ya kunisalimia, kwa kuwa kiumri alinizidi nilimuamkia, ila nilichokisikia masikioni mwangu ni neno “ Ahsante baby “. Nilishituka lakini nikaona ni vitu vya kawaida , kadri siku zilivyokwenda tulizidi kufahamiana nilimwambia kuwa nina saluni yangu, alinitumia vocha na mwisho alliniambia anataka kuja kupajua ofisini kwangu, nilimuelekeza akawa anakuja kutengeneza nywele, akitoa 10,000/= nikimrudishia chenji ananiambia “ utakunywa soda “ , siku nyingine anafika ofisini kwangu ananipa hela anaondoka. Nikaanza kuwa na mawazo juu ya huyu mama lakini sikupata jibu.
Siku moja akanipigia simu akaniambia anataka kufungua saluni yake, kwa hiyo angeomba tukutane Cape Town Bar tuongee mimi na yeye. Ilikuwa siku ya Jumapili, wateja walikuwa wengi alinisubiri kama saa moja akanipigia kuniulizia nimekwama wapi?
Nikamwambia bado nina wateja , akaniambia funga saluni njoo nikulipe hela ya siku hiyo yote. Nilifika pale akaniagizia kinywaji na baada ya hapo akatoa shilinge 50,000/= .
Nilishindwa kumuelewa huyu mama akaanza kunihoji naishi na nani, nikamwambia naishi
na watoto wangu watatu, baba yao baba yao amefariki miaka miwili iliyopita .
Nikamuuliza saluni anataka kufungulia wapi? Akanijibu achana kwanza na mambo na mambo hayo tutaongea baadaye . Tuliendelea kunywa hadi saa mbili usiku nikamwambia
nawawahi watoto wangu nyumbani akaniambia nitakupeleka na gari, kusema kweli sikuelewa nia yake ni nini hivyo hata nyumbani kwangu sikutaka apajue. Nilimuaga tena kwa mara ya pili akaniruhusu , kesho yake aliniletea viroba vya unga na mchele
akavishusha saluni kwangu, akaniambia atanipigia simu , kesho yake aliniletea viroba vya unga na mchele akabishusha saluni kwangu , akaniambia atanipigia simu kesho yake kuna kitu anataka kunieleza.
Nilianza kupata hofu, ilibidi niwaeleze rafiki zangu wa karibu , ushauri walionipa waliniambia usikubali kutoka naye kwenda popote mbali ya pale Buza kwa sababu nia
yake hatueielewi. Kesho yake akafika pale bar akanipigia simu, nikaenda ila nikapanga na rafiki yangu mmoja anifuate pale . Alipokuja nilitoa hela ili nimuagizie kinywaji, Yule
mama alinizuia akatoa hela na kumuambia muhudumu alete kinywaji ila alimuomba Yule rafiki yangu akae meza nyingine. Kusema kweli alizidi kunichanganya, sikumuelewa.
Yule rafiki yangu alikunywa bia ya kwanza na ya pili na akaja kutuaga akaondoka.
Nilimtumia meseji kuwa asicheze mbali.
Baada ya kama lisaa limoja hivi alipigiwa simu, akaniaga akatoa Sh. 10,000/= akanibusu akaondoka. Yaani hapo ndio alinifanya niwe na mawazo sana, nikaenda kuwahadithia wenzangu wengine wakasema labda ni msagaji, wengine wakasema ametokea kukupenda tu au anataka kaka yake akuoe.
Kesho yake akaja na dereva mwanamke, binti mdogo mwenye umri kati ya miaka 20 au 25, akaniambia nimsindikize mjini nikamchagulie nguo za biharusi mtarajiwa. Tukaondoka
wote hadi Kariakoo, akamwambia Yule dada apaki gari pembeni ili akajisaidie, Yule binti akajitambulisha kwangu kuwa anaitwa Angel, akaniuliza huyu mama mmeanza kufahamiana toka lini, nakamwambia yapata mwezi mmoja sasa. Nikamuuliza mbona
unaniuliza hivyo akaniambia nilikuwa nakuuliza tu. Akaniuliza unajishughulisha na nini , nikamwambia nina saluni na ni mc, akaniomba namba ya simu, Yule mama alipokuja akatuuliza mlikuwa mnaongea nini? Mimi nikamjibu kuwa dereva wako ananiuliza ile saluni ni yangu au nimeajiriwa ? Tukaja mpaka mtaa wa Tandamti akamwambia apaki gari atusubiri, tukaanza kuingia madukani, badala ya kutafuta nguo ya bi harusi akawa
ananiambia mimi nichague nguo niliyo ipenda nikawa namkatalia , tukaja mpaka mtaa wa Agrrey kuna duka linauzwa nguo za kutokea usiku, tukaingia pale kuna nguo nzuri tuliikuta inauzwa 120,000/= akaniambia niichukue nikakataa, tulipotoka nje kuna
kaka alikuwa anauza viatu simple akaniambia nichague nikaona nisimkatishe tama nikachagua naye akachagua , Mara ikaingia meseji kwenye simu yangu , meseji ilikuwa inasema hivi “ Huyo mama unamtambua vizuri au haumtambui, ni msagaji mzuri pole
Aunty nakuhurumia, “ by Angel . Kwa kweli nilishtuka nikahisi nazimia , akaniambia mbona umesoma sms ukaonekana
umeshtuka . Nikamwambia kaka yangu amenitumia sms mtoto wake anaumwa sana.
Akaniambia twende nikupeleke , akili yangu ilishahama, nilimuambia tu hapana acha niende nikapande daladala niwahi hospitali. Alitoa shilingi 10,000/= akanipa kama nauli,
nilitoka speed mithili ya mshale, nilivuka mtaa wa uhuru, nusu nigongwe na gari, sikuamini macho yangu, nilifungua tena ile sms nikaisoma , ghafla akanitumia vocha ya sh. 5000/= na ujumbe uliosema “ I love you baby “Nilipofika nyumbani nikawapigia rafiki zangu simu nikawaeleza, walishtuka sana, wengine
waliniambia namsingizia . Rafiki yangu Hawa akanishauri nibadilishe laini siku hiyo hiyo na pale saluni nisikae. Nikanunua laini mpya , nikaenda kutafuta kazi ya saluni Yombo
pale kwangu nikaweka msichana. Nikamwambia mtu yoyote akiniuliza amwambie nimesafiri na simu sina. 
Na kweli huyo mama alikuwa anakuja mara kwa mara saluni
kwangu kuniulizia , lakini hakupata mafanikio yoyote. Matokeo yake niliamua kuhama nikapangisha nyumba yangu nikahamia Tandika nyumbani kwetu. 
Nilicho hofia nikwamba kwa sababu nilishakula pesa yake nyingi, angefikia kunitaka kimapenzi, matokeo yake ningemkatalia angeweza kunifanyia chochote.


JE  KITU  GANI  KILITOKEA?, ILIKUWAJE  KUWAJE  HADI  ZUWENA  AKAKUBALI  KUINGIA  KATIKA  MAHUSIANO, NA  MWANAMKE  HUYU?, NINI  KILIPELEKEA  HADI  ZUWENA  KUAMBUKIZWA  V.V.U  NA  MWANAMKE  HUYU?  Endelea  kufuatilia  mfululizo  wa  makala hii itokayo kila JUMAPILI "

Read More »

NIMETEMBEA NA WANAUME 10 BAADA YA KUOLEWA- MUME WANGU HAJUI

0 comments
I know my story will lead people to attack me but I will appreciate any help I can get.

I got married to my loving husband in April 2010. Although at first, I was not really in love with him, but because I was getting older, and I could not find any good man from my religion and tribe, my parents introduced me to him and pressured us into marriage.

The first time I had an affair, it was a mistake. I ran into my ex and we exchanged Blackberry pins. We chat all the time and at that point, I was not really happy in my marriage so I encouraged him. Soon after, we started to hang out and started sleéping together. He eventually moved from Nairobi to Kisumu so that ended our affair.

Since then, I have had a few flings with 9 more men including my friend's husband. I currently have two children with my husband but I feel unsatisfied.

My husband is very loving and kind, and I have grown to love him but I'm not able to stop this extra-marital affair. The sad thing is that my husband has no clue what is going on. I never give him any reason to suspect. I delete all my phone messages even though he does not even check my phones. I make sure I cover my tracks because I want to keep my family together.

Recently I talked to my Pastor who encouraged me to keep praying and fasting but this isn't helping because still keep my men outside and I still see them.

I know I need to stop, but I don't know how. Please Help.

Rachael.

Read More »

JINI MAHABA LINAVYOMTESA HUYU KAKA, LINAMUINGILIA MPAKA KINYUME NA MAUMBILE-HELP

0 comments
Hi ni history ya kweli ya maisha yangu naomba mnishauri wadau.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29 ni mkristu na ni mzaliwa wa morogoro mwenye asili ya mkoa wa kilimanjaro.Wakati wa utoto wangu nilikuwa ni mtu mwenye akili sana.Kuanzia la standard 1 mpaka form 4 nilikuwa naongoza nikishuka sana nakuwa mtu wa pili au wa tatu.Kifupi nilizaliwa nikiwa na akili sana pia nilikuwa na nyota ya kupendwa na watu na nililelewa kwenye mazingira mazuri nikiheshimu kila mtu.
Tatizo hili lilinianza nilipokuwa shule ya msingi yaani nilipofika std 7. Nilikuwa napita karibu na mto na kuna mti mkubwa.Nilihisi nywele kusisimka na nikawa kila nikipita hapo naokota pesa. Tabia hiyo iliendelea kila siku mpaka jamaa na wazazi wakawa wananiambia nawaibia na kusingizia naokota.Mpaka namaliza std7 nilikuwa sijawahi kutana na mwanamke.Nilipofika form 2 nikibalehe bt hapo ndipo nilipoanza hisi utofauti.Nilianza kupata wet dream ila nilijua ni kawaida kama mwalimu wa biology alivyotufundisha bt cha kushangaza ndoto hizo zilikuwa ni endelevu.Mwaka huo huo nilipata dada mmoja akawa mpz wangu ila nilipokuwa namdu sikuwa nahisi raha kama ambavyo naota.Pia nikaanza tabia ya uongo, uchonganishi, unafki, hasira pia nikawa nachukiwa na wanafunzi na hata walimu bila sababu.
Nilipomaliza form 4 nilifaulu kwenda A level pindi hko nilikuwa na mwanamke m1 ambae alikuwa na mimba yangu bt cha kushangaza ile mimba ilitoka kwa mazingira ya ajabu.
Nilipofika A level nikawa na tabia ya kujichua na kupenda wanawake kupitiliza.Nilikuwa natoroka shule na kutafuta wanawake kuanzia mabaamedi, mama guest mpaka wanaojiuza nikikosa napiga punyeto huku na zile tabia zingine zikiendelea.
Nilienda chuo kikuu k1 moro na kuendeleza hizo tabia mpaka nilipomaliza chuo na kuanza kazi arusha.Wakati nilipokuwa chuo nilimtia dada m1 mimba ila pia mtoto alifia tumboni bila sababu.
Nikiwa kazini arusha mabosi na wafanyakazi wenzangu wakawa wananichukia bila sababu mwisho nikafukuzwa.
Siku 1 nikiwa arusha wakati nimefukuzwa kazi nikaenda kanisa la safina.Nilijishangaa nilipopandisha mashetani baada ya maombezi na kuanza ku confess na hayo mashetani yakasema yote tangu kuniingia mpaka walivyosababisha kuua watoto wangu pia kunisababishia UKIMWI, kuchukiwa, kutopata maendeleo mi na familia yangu yote.
Nilimshukuru mungu na kuanza maisha mapya ya maombi ila sasa kuna lingine limeibuka.Nikipitiwa na kulala bila kusali huwa naingiliwa sana kinyume na maumbile nikiamka najikuta nimechafuka.Nguo zangu za ndani zinachafuka sana.Nateswa na haya majini natamani kujiua husasani kwa vitendo ninavyofanyiwa pia mi ni muathirika bila kupenda.Nimechoka na maisha haya sijui nitafanyaje?Mnanishaurije wana jf?Natamani nikipata pesa niende nigeria kwa tb joshua kwa ajili ya maombezi.Naombeni ushauri wenu.


Source:Jamii Forums

Read More »

BIBI HARUSI AFARIKI DUNIA GHAFLA SAA MOJA KABLA YA NDOA HUKO TANGA....BWANA HARUSI ALIA KWA UCHUNGU NA KUNENA YAKE YA MOYONI..!!

0 comments
Handeni.
 Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Bibi Harusi ambaye ni mkazi wa Chanika mjini Handeni, Levina Mmasi (23) amefariki dunia saa moja kabla ya ndoa yake kufungwa katika Kanisa la Katoliki la Roma Wilaya Handeni Jumamosi na hivyo kuilazimu kamati ya maandalizi ya harusi kujigeuza na kuwa ya msiba.
Kifo hicho kilichotokea Jumamosi mwishoni mwa wiki iliyopita, kimekuwa gumzo mjini Handeni huku wananchi wakisema kuwa ni tukio ambalo halijawahi kutokea katika wilaya hiyo.
 Marehemu Levina Mmasi akilishwa chakula na aliyetarajia kumuoa, Kasisi Masawe kwenye hafla ya kuagwa kwake (Send-Off Party) iliyofanyika Jumatano iliyopita.
Msemaji wa familia ya marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Firmin Mrimasha, alisema kuwa chanzo cha kifo cha Levina ambaye alijifungua mwanzoni mwa wiki iliyopita,ilikuwa ni homa aliyoipata ghafla siku ya Alhamisi na kupelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni na kukutwa na malaria na kisha kulazwa kwa matibu.
 “Huyu bibi harusi alikuwa ametoka kujifungua, alikuwa na mtoto wa kiume kutokana na ujauzito wa miezi saba, ndipo ghafla Alhamisi akapata homa tukampeleka hospitali alikolazwa na baada ya kupata nafuu, aliruhusiwa Ijumaa.
Baada ya kuruhusiwa akaanza maandalizi ya harusi na Jumamosi ambayo ndiyo siku ya ndoa yake, alijiandaa lakini ilipofika saa 8.05 akafariki dunia akiwa nyumbani akisubiriwa kwenda kanisani kufunga ndoa ambayo ilikuwa ifungwe saa 9.00,” alisema Mrimasha.
Alisema, “Inasikitisha sana ila imeshatokea yaani marehemu amefariki saa moja kabla ya ndoa yake na baada ya kifo hicho, mtoto wake naye alifariki muda mfupi baada ya mama yake kufariki dunia,” alisema Mrimasha.
Akizungumzia mkasa huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi hiyo iliyogharimu Sh7.7 milioni, Abdi Kipacha alisema kuwa kwake ni tukio la kwanza kutokea tangu kuzaliwa kwake na kamwe hawezi kulisahau.
Nilishazipangia kazi kamati za maandalizi, lakini ghafla tukapewa taarifa kuwa bibi harusi amefariki...Hatukuamini, ikabidi niwatangazie wanakamati wenzangu kuwa hakuna tena shughuli, bibi harusi amefariki,” alisema mwenyekiti huyo wa kamati na kuongeza:
Kitu tulichokuwa tukisubiri ni kuambiwa bibi harusi angefika saa ngapi, lakini ghafla tukapewa taarifa za kifo, ilikuwa ni vigumu kuamini lakini ni kweli imetokea na inasikitisha kwani si jambo la kawaida,” alisema Kipacha.
Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na wanandugu ni kuwa marehemu alikuwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Nndawa mkoani Lindi na kwamba alikuwa katika kundi la walimu wa ajira mpya ambayo hadi mauti yanamkuta alikuwa hajapokea hata mshahara wake wa awali.
Akizungumzia hali hiyo, Padri aliyekuwa afungishe ndoa hiyo, Max Sabuni wa kanisa hilo Katoliki Handeni alisema:       “Nimesikitishwa na tukio hili kwa kuwa halikuwahi kunitokea...Kilichobaki ni wanandugu kuwa watulivu kwa kuwa Mungu amechukua kiumbe wake kwa muda alioupanga.
Aliwataka ndugu, jamaa na marafiki kuwa na subira katika kipindi hiki cha majonzi.
Naye mume wa marehemu, Kasisi Masawe alisema: “Nimechanganyikiwa sana na hili...Ni jambo ambalo sikulitarajia. Ninamshukuru Mungu kwa yote japokuwa kifo hiki kimeniharibia mipango yangu mingi ya maisha na Levina.
Nilipanga mengi na yeye, lakini Mungu hakupenda...Nilimpenda sana Levina,leo ameniacha. Amekwenda na mwanangu...Ni pigo kubwa kwa kweli, mke na mtoto kwa wakati mmoja, inauma sana.”
Mwili wa bibi harusi huyo ulisafirishwa jana kupelekwa Machame mkoani Kilimanjaro kwa maziko ambayo yanafanyika leo Jumatano pamoja na mtoto wake ambaye naye alifariki saa chache baada ya mama yake.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Costantine Massawe alithibitisha kutokea tukio hilo lakini akasema hawezi kuzungumzia kwa undani kwa kuwa ni tukio la kifamilia zaidi.


Read More »