-
Maecenas mattis, tortor ut posuere aliquam
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Post with SoundCloud
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Consectetur adipisicing elit
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Post With Featured Image
iam 1989 wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing...
-
Elementum mauris aliquam ut
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
Uvaaji wa wanawake wa namna hii huamsha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume kwa kiwango kikubwa sana....
Carol Botwin ambaye ni mtaalamu anayeaminika sana kwenye masuala ya tendo la ndoa na uhusiano akiwa ameandika vitabu kadhaa kuhusu mambo hayo, kama kile cha Men Who Can’t Be Faithful, anasema, wanaume kutoka nje, siyo jambo wanalopanga, bali hujikuta tu na kujilaumu au kushangaa baadaye.
Imekuwa ikisemwa kwa siku nyingi na wataalamu wengi kwamba, wanaume hawahusishi kupenda na tendo la ndoa. Nadharia hii inaonekana kushika mizizi baada ya wengi kukubaliana nayo kufuatia utafiti wa kina kuhusu tabia za wanaume na wanawake katika mapenzi.
Kuna mifano mingi yenye kuashiria kwamba, huenda kuna wanaume wachache sana kama mimi ambao hawatoki nje, tena wachache sana. Hii inatokana na ukweli kwamba, hamu au msukumu wa wanaume kutoka nje ni kama wa kimaumbile, umejengwa ndani ya mwanaume, haupo nje.
Mwanaume anapotoka nje ya ndoa, hatoki kwa sababau anataka sana kutoka, hutoka zaidi kwa sababu kuna msukumo wa kutoka. Hatoki nje kwa sababu anampenda huyo anayetoka naye nje, hapana. Anatoka nje kwa sbabau anasukumwa na asichokijua.
Kwa hiyo wanawake wana changamoto kuhakikisha kwamba, wakati mwingine wasione aibu kuwalinda waume au wapenzi wao, kwani linapokuja suala la kutamani na kutenda, wanaume zao ni sawa na Beberu la mbuzi. Hadi wamalize au kukamilisha kiu yao, ndipo akili zao za kibinadamu zinaporejea.
Kwa nini mwanaume anatoka nje na anafumaniwa, anaomba radhi, anasamehewa na halafu anatoka tena nje. Mke akitaka kuondoka, anatumia kila gharama kumzuia. Kama hampendi anamzuia wa kazi gani? Kama ingekuwa kutoka nje ni sawa na kupenda kwa mwanaume, si angeachana na mkewe na kubaki na huyo hawara?
Ni kweli kwamba, baadhi ya wanaume hutoka nje kwa sababau wamewachoka wake zao, lakini wengi hutoka nje kwa kusukumwa na mauambile tu. Mwanaume huvutwa na mwili tu wa mwanamke, siyo kitu kingine. Kwa namna anavyovaa tu, mwanamke huweza kumvuta mwanaume kwa kiwango cha juu sana. Nikisema kumvuta nina maana ya kumtamanisha.
Wataalamu wengi wanasema nguo zenye kuchokoza kama vile zile za kubana au nusu uchi kwa ujumla, huamsha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume kwa kiwango kikubwa zaidi, kuliko mwili wa kike ulio uchi.
Kwa hiyo wanawake wana changamoto kuhakikisha kwamba, wakati mwingine wasione aibu kuwalinda waume au wapenzi wao, kwani linapokuja suala la kutamani na kutenda, wanaume zao ni sawa na Beberu la mbuzi. Hadi wamalize au kukamilisha kiu yao, ndipo akili zao za kibinadamu zinaporejea.
Read More »
Jamani mie nimeshindwa ngoja niseme tu leo ...Mie ni msichana wa miaka 22 niko chuo UDSM mwaka wa pili , Wazazi wangu wanaishi Mwanza...Hapa dar huwa nafikia kwa mjomba wangu hasa week end huwa natoka hostel nakuja kwa mjomba..Mjomba wangu ana mtoto wa kiume wa miaka 28 nimetokea kumpenda jinsi alivyo mpole na Mstaarabu sana , huwa kila mara anakuja kunitembelea Hostel na akija nakuwa happy sana, Huwa nawadanganya Marafiki zangu kuwa ni Boyfriend wangu..Nampenda sana mpaka siku hizi nimeanza kumtega ili nilale nae ila naona kama bado hajashtukia, Juzi aliingia chumbani kwangu nikajifanya taulo limedondoka ila akatoka haraka na kufunga mlango...Mie nilidhani nae atapagawa na umbo langu ila laaa ...Nifanyaje ? Je kutembea na mtoto wa Mjomba ni Vibaya?
Read More »
Read More »
BAADA YA KUPIGWA CHINI BIG BROTHER, HUDDAH AAMUA KUMALIZA HASIRA ZAKE KWA KUJIPIGA UCHI
11:44 AM 0 commentsWengi waliamini kwamba Big Brother imempa fundisho mrembo huyu na kutegemea mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuuuheshimu mwili wake baada ya Video zake za uchi kuvuja akioga bafuni...
Hali imekuwa ni tofauti kwa mrembo huyu asiyeijua thamani ya mwili wake.Tabia ni ngozi.Skendo,picha za uchi huenda ziko katika mishipa ya damu yake....
Hizi ni picha zake za nusu uchi alizotupia mtandaoni.
Read More »
MWENYEKITI WA KIJIJI AMUUA MKEWE KWA KUMNYONGA SHINGO HUKO KAHAMA.....KISA NI WIVU WA MAPENZI..!!
10:14 AM 0 commentsMWANAMKE mmoja aitwaye Nyamizi Elias Salamba mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa kijiji cha Ilomelo kata ya Ulowa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, ameuawa kwa kunyongwa shingo na mwanamme anayedaiwa kuwa ni Mwenyekiti wa kijiji cha Kasela wilaya ya Nzega mkoani Tabora.
Taarifa ya jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga imesema tukio hilo limetokea Jumapili ya wiki iliyopita katika kijiji cha Ilomelo wilayani Kahama majira ya saa nne usiku ambapo mwanamke huyo alinyongwa shingo na hawara yake aliyejulikana kwa jina la Kashindye Abeid Sheni mwenye umri wa miaka 45 ambaye ni Mwenyekiti wa kijiji cha Kasela kilichopo mkoani Tabora.
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Evarist Mangalla alikitaja chanzo cha mauaji hayo kuwa ni wivu wa mapenzi baada ya marehemu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamme mwingine ambaye hajafahamika, kitendo ambacho kilimuudhi Mwenyekiti huyo.
Kamanda Mangalla alisema mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi na atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.
Taarifa ya jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga imesema tukio hilo limetokea Jumapili ya wiki iliyopita katika kijiji cha Ilomelo wilayani Kahama majira ya saa nne usiku ambapo mwanamke huyo alinyongwa shingo na hawara yake aliyejulikana kwa jina la Kashindye Abeid Sheni mwenye umri wa miaka 45 ambaye ni Mwenyekiti wa kijiji cha Kasela kilichopo mkoani Tabora.
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Evarist Mangalla alikitaja chanzo cha mauaji hayo kuwa ni wivu wa mapenzi baada ya marehemu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamme mwingine ambaye hajafahamika, kitendo ambacho kilimuudhi Mwenyekiti huyo.
Kamanda Mangalla alisema mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi na atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.
Read More »
Subscribe to:
Posts (Atom)