Alichoandika Ommy Dimpoz kuhusu hili gazeti kwamba amemtukana Marehemu Ngwea.
ANASEMA KUA ALIPIGIWA SIMU YA KIBIASHARA KWA AJILI YA KUFANYA SHOW NA GLOBAL PUBLISHERS KWA SABABU HAWAKUFIKIANA KWENYE MALIPO NDO WAMEAMUA KUMCHAFUA. TAZAMA PICHA YA KILICHOANDIKWA NA GLOBAL PBLISHERS HAPA
wewe https://www.facebook.com/rabecca.clayton sasa unataka vipi wakati mtu alijiover dosee mwenyewe ata mimi nilikuwa sjui kama anatumia unga ila 7bu ya kifo imenifanya nijue je na mm ndio natumia madawa hapo ommy hana kosa yeye azazungumzia umaskini wa wasanii ambapo kumbe inawezekana kuishi maisha ya kifahari kwa kuwa wanapofariki mbona hufarijiwa sana sasa kivipi ishindikane wanapo kuwa hai??????????
wewe https://www.facebook.com/rabecca.clayton sasa unataka vipi wakati mtu alijiover dosee mwenyewe ata mimi nilikuwa sjui kama anatumia unga ila 7bu ya kifo imenifanya nijue je na mm ndio natumia madawa hapo ommy hana kosa yeye azazungumzia umaskini wa wasanii ambapo kumbe inawezekana kuishi maisha ya kifahari kwa kuwa wanapofariki mbona hufarijiwa sana sasa kivipi ishindikane wanapo kuwa hai??????????
ReplyDelete