MHHH HII KALI: Ben Paul Aonyesha Msimamo, Asema Hata Akilipwa Milioni 800 Kwenye Show Kama Hii Hawezi Kuperform, Msikie hapa
Kufuatia upepo wa wasanii wa muziki hivi sasa kuonyesha ama kuweka wazi  mapenzi yao na vyama vya siasa na wengine kujiunga kabisa na vyama hivi  hapa nchini, Hali imekuwa tofauti kabisa kwa msanii Ben Pol ambaye  ameapa kuwa hawezi kushiriki wala kupigia debe chama chochote katika  shughuli zake.  
Katika mahojiano ambayo msanii huyu ameyafanya exclusively na www.sammisago.com, msanii huyu ametoa kauli nzito kuhusiana na yeye kujihusisha katika vyama hivi vya siasa, pamoja na sababu ya uamuzi wake, Msikilize Ben pol hapa;
Katika mahojiano ambayo msanii huyu ameyafanya exclusively na www.sammisago.com, msanii huyu ametoa kauli nzito kuhusiana na yeye kujihusisha katika vyama hivi vya siasa, pamoja na sababu ya uamuzi wake, Msikilize Ben pol hapa;


0 comments: